Thursday, January 31, 2013

BREAKING NEWS: JAHAZI LA 'SUNRISE' LAZAMA ENEO LA NUNGWI...SOMA ZAIDI HAPA

Jahazi la SUNRISE ambalo ilikuwa likitokea Mkoani Tanga kuelekea visiwani Zanzibar likiwa na abiria 32 limezama eneo la Nungwi.
  Jitihada za kuwaokoa abiria hao zinaendelea kufanywa na maafisa wa uokoaji na hadi sasa wameokolewa watu 20 na wengine 12 hawajulikani walipo. Endelea kusikiliza East Africa Radio kwa taarifa zaidi. Chanzo: East Africa Radio

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA