Monday, February 4, 2013

PICHA ZINGINE 5 ZA YALIYOJIRI KATIKA HARUSI YA KITALE


KAMA tulivyoripoti siku ya Ijumaa kuwa Yussuf Mussa Kitale anaoa Jumapili, hatimaye msanii huyo jana mchana alifunga pingu za maisha na bibie Fatuma Salum Abbas.
Kukamilika kwa tukio hilo kunahitimisha maisha ya uchumba wao wa muda mrefu tangu wakiwa shuleni na baadae kufanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume waliyempa jina la Hemed.
Baba Mzazi wa Kitale
Harusi hiyo iliyofanyika Mwananyamala jijini Dar es Salaam ilihudhuriwa na wasanii wengi wa Movie pamoja na Bongo Fleva.
Bi Fatuma akiwa mtoto wao Hemed Kitale
Credits: Bongo 5

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA