Tuesday, February 19, 2013

WANAWAKE WAKAA UCHI MBELE YA WATOTO KWENYE KIGODOLO

Katika hali isiyotegemewa dada huyu alikutwa na camera yetu akimwaga radhi kwenye daladala pasipo kujua wala kuangalia nyuma yake kuna watoto wadogo au watu wazima wanamuangalia,balaa alikuwa dogo kila dada aliekuwepo kwenye gari hili aina ya double costa,alikuwa anamwaga radhi kwa style yake ila dada huyu alifanya balaa la kumwaga radhi kwa watu wengine ambao waliokuwa wakipita zao barabarani nakujionea vitu bure kabisa,'' WATOTO WA SIKU HIZI WAMEKOSA ADABU KABISA'' alisikika mzee mmoja wa makamo akisema.

 

Huu ni mtindo mpya wa muziki ambao unapigwa uswahilini unaitwa kigodolo watu umwaga radhi mbele ya watoto wadogo bila ya woga wa aina yoyote hili na wazazi wao wakiwepo wakiangalia upumbavu huo.

 
 

haya sasa short people kweli dizasta

 
 

Katika nyakati tofauti wakinadada hawa nao walionekana juu ya gari wakikata miuno live bila nya chenga jaman tunaelekea wapi? hivi umu barabarani trafic hakuna au/

 

6 comments:

  1. Andika na source wew kamera yetu inamaana huu ni mtanadao sasa acha kuzingua wew

    ReplyDelete
  2. fuck tanzanian ladies

    ReplyDelete
  3. I rarely leave a response, however i did a few searching and
    wound up here "WANAWAKE WAKAA UCHI MBELE YA WATOTO KWENYE KIGODOLO".
    And I do have some questions for you if it's allright. Is it simply me or does it appear like some of the comments appear like coming from brain dead people? :-P And, if you are posting at additional online sites, I'd like to keep up with anything fresh
    you have to post. Would you make a list of every one
    of all your communal sites like your twitter feed, Facebook page or
    linkedin profile?

    Here is my blog; kredyty hipoteczne (katalogkredytow.pl)

    ReplyDelete
  4. jetez un coup d'œil sur le site ici sacs répliques de bonne qualité cliquez pour en savoir plus sacs de répliques AAA publié ici réplique dolabuy

    ReplyDelete

TOA MAONI YAKO HAPA