Wednesday, February 20, 2013

WEMA ATAMBULISHA RASMI OFISI YAKE MPYA "ENDLESS FAME FILM"

 Siku chache baada ya msanii wa tasnia ya filamu Bongo, Wema Abrahamu Sepetu kutangaza kuwa anamiliki kampuni mpya ya filamu"Endless Fame Film" jana mchana aliweza kufanya press conference na waandishi mbalimbali huku akitambulisha rasmi kampuni hiyo.
Kwa mujibu wa msanii huyu alisema kwamba kwasasa bado ofisi yake haijaanza kufanya kazi ila inatarajia rasmi kuanza kazi mwezi wa tatu mwaka huu.@Wema alisema....

    Tazama picha za ofisi yake mpya 'Endless Fame Film' iliyoitambulisha leo rasmi......







                                                               Wema na Zamaradi
                                                             
                                                                     Wema na Rich

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA