| Hii ndio ilikua dresscode ya siku hiyo |
| Moja ya Silaha zangu kwenye stage kushoto Emma & Mpauka |
| Bhaaaasssss.. |
| Men in Black n White.... |
| Wananchi wa Kigoma Tupo Pamoja........??? |
| Makamuzi Yakiendelea stejini.......!! |
| Wakati mwingine Mashetani yananipandaga nakua ulimwengu mwingine kabisa.......! |
| Aaaagha Kidoogo......! |
| Ni Step by Step... Mpelampela.......!! |
| Eeeti nani Amenuunaaa.... Oooh nani Amenuunaa...!? |
| Mmh! mashabiki nao jamani hadi kwenye gari..... |
No comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO HAPA