Showing posts with label music. Show all posts
Showing posts with label music. Show all posts
Sunday, February 24, 2013
Monday, February 4, 2013
Saturday, January 26, 2013
Friday, January 25, 2013
Sunday, January 20, 2013
SAFARI BADO NDEFU
ukiwa
na nia na kazi unayofanya lazima ujiwekee malengo na uwe na uhakika na
unchofanya.. mziki wangu unanifanya nifikilie mengi kila ninapoamka.
nashukuru mungu ninakipaji cha kuandika sio siri nimeweza kuandika
nyimbo zangu nyingi sana ambazo baadhi nimerecod na zingine nyingi bado
cjarecod, huwaga namshukuru mungu saana a hili kwan amenipa upeo wa
kuandika na kuchanganua kwa sasa ninanyimbo ambazo 12 tayari nimerecod
na nyingine nyingi sana cjazirecod
tangu
mwanzo ndoto zangu zilikuwa ni kufanya kolabo na AMINI wa THT kwani
nauelewa saana mziki wake nashukuru mungu nilikutana nae na tukafanya
kaz mbayo bado haijatoka. vile vile nishafanya kolabo na JORDAN Da
PrINCE pamoja ba BABY BoY. pia kwa wasichana natamani kama siku
ningepata nafasi ya kufanya colabo na CINDY wa UGANDA kwan nafeel sana
kazi zake na nampenda sana. kaeni tayari kwani mapema mwez wa 3
nitaachia nyimbo yangu iitwayo PENZI LA MASHAKA.
Monday, January 14, 2013
NIPENDE MILELE, WE NDIO WA PEKEE
This is also my hit song,inaitwa nipende milele...Isikilize hapa ili upate flavour halisi ya mapenzi.
HII NDIO AUDIO YA MUZIKI MTAMU, ISIKILIZE NA UIDOWNLOAD PIA HAPA
KAMA ulikuwa hujawahi kusikia wimbo wangu, Muziki Mtamu basi hapa ndio mahala pake. Wimbo huu nimeimba na Jordan Da Prince.
Artist____Candy ft jordan prince
Song____ Mziki mtamu
Production__ NK Production
Producer__Christone
Subscribe to:
Posts (Atom)




