Sunday, January 20, 2013

HIVI NDIVO POLISI WA SEGEREA WALIVONIFANYIA

Siwezi kuisahau hii siku nilienda gereza la segerea na kutaka kuingia kuona wafungwa nikiwa hivi mgongo waz,. nilikatazwa kuingia na kwa sababu polisi wanahali ya kuongea kwa ukali ni,niliamua kuondoka lakini baadae roho ikanisuta kwani sikulitimiza lililonipeleka ikabidi niazime khanga nivae then niingie, nashukuru mungu niliingia  na kutimiza lililonipeleka, tangu hapo nimejifunza saana kuvaa kulimgana na mahali na wakati, baadae sikuwachukia polisi kwani nao walikuwa kazini,
one love
CANDY

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA