Sunday, January 20, 2013

SAFARI BADO NDEFU


ukiwa na nia na kazi unayofanya lazima ujiwekee malengo na uwe na uhakika na unchofanya.. mziki wangu unanifanya nifikilie mengi kila ninapoamka. nashukuru mungu ninakipaji cha kuandika sio siri nimeweza kuandika nyimbo zangu nyingi sana ambazo baadhi nimerecod na zingine nyingi bado cjarecod, huwaga namshukuru mungu saana a hili kwan amenipa upeo wa kuandika na kuchanganua kwa sasa ninanyimbo ambazo 12 tayari nimerecod na nyingine nyingi sana cjazirecod
 
tangu mwanzo ndoto zangu zilikuwa ni kufanya kolabo na AMINI wa THT kwani nauelewa saana mziki wake nashukuru mungu nilikutana nae na tukafanya kaz mbayo bado haijatoka. vile vile nishafanya kolabo na JORDAN Da PrINCE pamoja ba BABY BoY. pia kwa wasichana natamani kama siku ningepata nafasi ya kufanya colabo na CINDY wa UGANDA kwan nafeel sana kazi zake na nampenda sana. kaeni tayari kwani mapema mwez wa 3 nitaachia nyimbo yangu iitwayo PENZI LA MASHAKA.

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA