Wednesday, February 27, 2013

CHOCOLATE ZAMPONZA WEMA SEPETU


CEO wa Endless Fame Films Wema Sepetu amelazimika kujisamilisha kwa daktari wa meno baada ya ulaji wa chocolate kumponza na hivyo kuozesha baadhi ya meno yake.

Kupitia Instagram, Miss Tanzania huyo wa zamani, ameshare picha akiwa kwenye clinic ya meno kung’oa jino lililokuwa likimsumbua. “Apparently I have 8 cavities…. oh god… does this mean no more chocolate for me,” ameandika. Kwa waliowahi kuumwa na jino wanaujua muziki wake, so get well soon Wema.
0c996cf080bb11e2a3d822000a1f9be5_7

source MPEKUZI

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA