Thursday, February 7, 2013

MELI YA MV VICTORIA ILIVYONUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO LEO JIJINI MWANZA

Maafisa wa kikosi hicho walijitosa kuhakikisha moto huo hausambai katika maeneo mengine ya Meli ya Mv Victoria ambapo walifanikiwa kuuzima huku ukiwa tayari umeteketeza magodoro yote pamoja na mito ya makochi iliyokuwa katika chumba cha kuhifadhia mizigo.
Juhudi zikiendelea kwa maafisa wa kikosi…

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA