Monday, February 11, 2013

NASIKITISHA:: AJALI YA KUTISHA,WATOTO SABA(7) WAFARIKI DUNIA HAPO HAPO..



Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba kuna Ajali iliyotokea jioni ya jana  saa 11.Watoto saba,Dreva na mama mmoja wa kimasaai na watoto wake wote wamefariki dunia.Wanafunzi 7 waliofariki wakilikuwa wamepanda gari(lift) wakitokea shule Chalinze sekondari wakielekea maneo ya Mdaula.
Gari walilopata lift linanamba za usajili hizi  T363 AZG 
src dj sek

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA