Wednesday, January 23, 2013

HUU UKATILI UTAISHA LINI??????? MTOTO AZIKWA AKIWA HAI HUKO NIGERIA

Mama mmoja nchini Nigeria ameamua kumzika mtoto wake akiwa hai. Baada ya taarifa kupatikana polisi walienda na kuamua kufukua. Baada ya kufukua walimkuta mtoto huyo na kumkimbiza hospitali aliposafishwa mtoto huyo alikutwa hai.

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA