Thursday, February 28, 2013

DOGO JANJA: NI MARA YA YANGU YA KWANZA KUDONDOKA SOUTH SO AMBAO BADO HAMJATOBOA KIMZIKI KAZENI

 

Dongo janja ambae kwa sasa yuko chini ya usimamizi wa Mtanashati Entertainment na Ostz Juma na musoma, ameshadondoka nchini Africa ya kusini kwa ajili ya kuanza kazi moja tu ambayo imempeleka huko, ikiwa ni makamuzi kwa kwenda mbele, na akisisitiza kuwa show yake ya kwanza itafanyika ndani ya cape town.
janjaro anaonekana kwenye picha kupokelewa vizuri na mashabiki wake na watanzania waliopo huko, na baada ya kufumbua macho kwa mara ya kwanza na kuyasafisha kwa majengo mazuri na hali ya hewa tofauti na home, aliamua kuwapa moyo vijana wenzake  kupitia ukurasa wake wa facebook,wanaofanya mziki kwa kuwashauri wasikate tamaa..

Thnx God nlifika South Africa salama Now nipo Cape town ambako show yangu ya kwanza itafanyika ndani ya jiji la cape town... Nawapenda mashabiki wangu.... Kama upo cape town au south africa... Kaaa mkao wa kula... Nawapenda watanzania wooote na watu wooote... Nipo na Ostaz Juma bigBoss .. So, nipo na Boss wangu.. Naenjoy sana huku najifunza vitu vyingi pia ndio mara ya kwanza kudondoka wanangu ambao bdo hamjatoboa kimziki kazeni.. Mi sikati tamaa na sitoridhika nataka niende mbali zaidi ya hapa...nataka niende mbaliii saaalute sana kama ww ni shabiki wa Janjaro na unapenda maendeleo yangu Comment au like.... Pamoja..
 SOURCE: DJ FETTY

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA